Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Ziwa Manyara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

3°35′S35°50′E / 3.583°S 35.833°E /-3.583; 35.833

Ziwa Manyara.

Ziwa Manyara nimoja kati yamaziwa ya Tanzania, lasaba kwa eneo. Ukubwa wake niKm² 470.Kina chake hakizidimita 3.7.

Linapatikanakaskazinimashariki, katikaWilaya ya Babati,Mkoa wa Manyara.

Lipo ndani yaBonde la Ufa la Afrika Mashariki na ndani yahifadhi ya taifa likiwa kivutio kikubwa kwawatalii kutokana na wingi wandege aina yakorongo walio na mvuto mkubwa kwa kila mtu. Ndege hao huonekana kama pazia kubwa jeupe nyakati zamchana wanapokuwa ziwani kujipatiachakula na mapumziko.

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii kuhusu maeneo yaMkoa wa Manyara bado nimbegu.
Je unajua kitu kuhusuZiwa Manyara kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Ziwa_Manyara&oldid=1204016"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp