Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Wilaya ya Kajiado

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wilaya ya Kajiado
Mahali paWilaya ya Kajiado
Mahali paWilaya ya Kajiado
Mahali pa Wilaya ya Kajiado katikaKenya
NchiBendera ya Kenya Kenya
Mji mkuuKajiado
Eneo
 - Jumla21,292.7km²
Idadi ya wakazi (2009Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla687,312

Wilaya ya Kajiado ilikuwawilaya mojawapo yaMkoa wa Bonde la Ufa waJamhuri yaKenya hadi ilipopitishwakatiba mpya ya nchi (2010).

Ilikuwa na jumla ya wakazi 406,054 na ukubwa wa eneo la kilomita mraba 21,903[1]. Wilaya hii ilipakana na mji waNairobi na kuendelea hadi kwenye mpaka wa Kenya naTanzania kusini zaidi.

Makao makuu yalikuwamjiniKajiado.

Kwa sasa imekuwakaunti ya Kajiado.

Serikali za Mitaa(Baraza ya Miji)
Serikali ya MtaaAinaIdadi ya WatuWakaazi wa mjini*
Kajiadomji12,2049,128
OlkejuadoBaraza la mji393,85071,223
Jumla-406,05480,351

Wilaya hii ilikuwa imegawanywa katika taarafa saba za utawala. Tarafa mpya yaIsinya haijajumuishwa kwenye jedwali lifuatalao kulingana na sensa ya 1999:

Maeneo ya utawala
TarafaIdadi ya WatuWakaazi wa mjini*Makao makuu
Mkoa wa Kati69,40216,444Kajiado
Loitokitok95,4307,495
Magadi20,1120Magadi
Mashuru35,6662,248Mashuru
Namanga35,6735,503Namanga
Ngong149,77120,657Ngong
Jumla406,05438,299-

Kulikuwa na maeneo bunge matatu katika wilaya hiyo:

Angalia pia

[hariri |hariri chanzo]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. http://www.scribd.com/doc/36672705/Kenya-Census-2009

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Miji
Bendera ya Kenya
Bendera ya Kenya
Wilaya za zamani
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Wilaya_ya_Kajiado&oldid=1190678"
Jamii:
Jamii iliofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp