Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Walowezi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha inayoonyesha walowezi wa kwanza waKarne za kati wakifikaAisilandi.

Walowezi (kutokakitenzi "kulowea"; pia:setla, kutoka Kiingereza "settler") ni watu ambaowamehamia katika eneo fulani na kuanzishamakazi ya kudumu pale, hata mara nyingikulitwaa eneo hilo. Makazi mara nyingi hujengwa kwenyeardhi ambayo inadaiwa au inayomilikiwa na watu wengine.

Wao wenyewe wakati mwingine huondoka katika kujitafutiariziki auuhuru wa dini[1].

Mara nyingine walowezi huungwa mkono naserikali au nchi kubwa au tajiri[2].

Sababu za uhamiaji

[hariri |hariri chanzo]

Sababu za kuhama kwa walowezi hutofautiana, lakini mara nyingi huwa ni mambo yafuatayo: hamu ya mwanzo mpya namaisha bora katika nchi ya kigeni, hali duni yakifedha,dhuluma yakidini[1], yakijamii, yakiutamaduni au yakikabila[2], kukandamizwakisiasa, nasera kutoka serikali zinazowapa motisha wananchi kwa lengo la kuhamasisha makazi ya kigeni.[3]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. 1.01.1"Mormon Settlement".historytogo.utah.gov. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo mnamo 2018-03-17. Iliwekwa mnamo2018-08-04.
  2. 2.02.1"Financial Interests Back Settlement of Jews in Kenya | Jewish Telegraphic Agency".www.jta.org (kwa American English). Iliwekwa mnamo2018-08-04.
  3. Wolfe, Patrick (2006-12)."Settler colonialism and the elimination of the native".Journal of Genocide Research (kwa Kiingereza).8 (4): 387–409.doi:10.1080/14623520601056240.ISSN 1462-3528.{{cite journal}}:Check date values in:|date= (help)
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuWalowezi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Walowezi&oldid=1197895"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp