Ufini ilitekeleza azimio hili kwasheria mbalimbali. Hivyo Aland ni sehemu ya Ufini ambakolugha rasmi pekee si Kifini bali Kiswidi. Wafini kutokabara hawaruhusiwi kununuaardhi aunyumba moja kwa moja kama hawajaishi visiwani kwa miaka kadhaa kwanza.
Makala hii kuhusu maeneo yaUlaya bado nimbegu. Je unajua kitu kuhusuVisiwa vya Aland kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Makala hii kuhusu maeneo yaUfini bado nimbegu. Je unajua kitu kuhusuVisiwa vya Aland kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.