Kihistoria Uskoti uliwahi kuwa nchi ya pekee, mpaka ikaunganishwa chini ya Ufalme waUingereza tangu mwaka1603BK.
Tangu mwaka1707 Uskoti haukuwa tena nabunge la pekee lakini ulikuwa na wawakilishi katika bunge laLondon.Bunge la Uskoti lilirudishwa tena mwaka1999 nalo linasimamia mambo ya ndani.
Mnamo Septemba2014, wananchi walipigakura kuhusuuhuru wa nchi yao, lakini wengi waliamua kudumisha Ufalme wa Muungano. Hata hivyo, baada ya Ufalme huo kujitoa katikaUmoja wa Ulaya, kuna mpango wa kupiga tena kura mwaka2023.
Makala hii kuhusu maeneo yaUlaya bado nimbegu. Je unajua kitu kuhusuUskoti kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.