Uraia ni hali yamtu kutambulika chini yasheria kama mwananchi mwenye haki zote katikanchi fulani. Mtu huyohuyo pengine anaweza kuwa raia wa nchi zaidi yamoja. Hata hivyo kuna watu wasio na uraia wa nchi yoyote.
Mtu anapata uraia kufuatana na sheria za nchi husika. Kwa kawaida ni kwa sababuwazazi wake ni raia wa nchi hiyo naye amezaliwa nchini humo. Lakini si hivyo kila mara, kwa sababu anaweza kuwa na wazazi raia wa nchi tofauti, au anaweza kuzaliwa nje ya nchi yao. Pengine wazazi wenyewe hawakuzaliwa katika nchi ambayo wana uraia wake.
Beaven, Brad, and John Griffiths. "Creating the Exemplary Citizen: The Changing Notion of Citizenship in Britain 1870–1939,"Contemporary British History (2008) 22#2 pp 203–225doi:10.1080/13619460701189559
Carens, Joseph (2000).Culture, Citizenship, and Community: A Contextual Exploration of Justice as Evenhandedness. Oxford University Press.ISBN978-0-19-829768-0.
"Citizenship Laws of the World"(PDF). United States Office of Personnel Management Investigations Service. Machi 2001. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo(pdf) mnamo 2006-04-04. Iliwekwa mnamo2007-03-07.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuUraia kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.