Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Umoja wa Kilatini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Umoja wa Kilatini (kwaKilatini:Unio Latina; kwaKiingereza:Latin Union) ni shirika la kimataifa linalounganisha nchi mbalimbali zinazotumia rasmilugha za Kirumi. Umoja huo ulianzishwa mnamomwaka1954 kamamkataba wa kimataifa na tangu mwaka1983 ulikuwataasisi halisi yenyeofisimjiniParis. Ofisi kuu ilifungwa tena mnamo mwaka2012 kwa sababu wanachama wengi hawakulipaada zao.

Makao yake makuuyalikuwa Paris,Ufaransa, lengo lake lilikuwa kulinda na kukuzaurithi wakitamaduni wamataifa yenye lugha za Kirumi.Idadi ya wanachamama ilifikia nchi 36 zaAmerika Kaskazini,Amerika Kusini,Ulaya,Afrika, na kanda laAsia naPasifiki.[1]

Majina rasmi ya Umoja wa Kilatini yalikuwa: Union Latine kwaKifaransa, Unione Latina kwaKiitalia, Uniao Latina kwaKireno, Uniunea Latina kwaKiromania, Union Latina kwa Kihispania na Unio Llatina kwaKikatalunya.

Lugha rasmi

[hariri |hariri chanzo]

Lugha rasmi za Umoja wa Kilatini zilikuwaKihispania,Kifaransa,Kiitalia,Kireno,Kiromania, naKikatalani. Kihispania, Kifaransa, Kiitalia na Kireno zilitumika kama lugha za kufanya kazi.Maandishi yote ya kuenezwa kwa jumla yalitafsiriwa katikalugha hizo nne, na nyingine pia zikienda kwa Kiromania na Kikatalani.

Nchi wanachama

[hariri |hariri chanzo]

Nchi zinazotumiaKihispania

[hariri |hariri chanzo]

Nchi zinazotumiaKifaransa

[hariri |hariri chanzo]

Nchi zinazotumiaKireno

[hariri |hariri chanzo]

Nchi zinazotumiaKiitalia

[hariri |hariri chanzo]

Nchi zinazotumiaKiromania

[hariri |hariri chanzo]

  • Kosa la hati: Hakuna moduli kama"flag".
  • Bendera ya Romania Romania

Nchi zinazotumiaKikatalani

[hariri |hariri chanzo]

Nchi watazamaji

[hariri |hariri chanzo]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. "Unión Latina; Estados miembros". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo mnamo 2008-12-28. Iliwekwa mnamo2009-01-05.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Umoja_wa_Kilatini&oldid=1354811"
Jamii:
Jamii iliofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2026 Movatter.jp