Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Uislamu nchini Ivory Coast

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Msikiti wa taifa mjiniMarcory.
Uislamu kwa nchi

Waislamu wamo kwenye asilimia 38.6 ya idadi yote ya wakazi wa nchiniIvory Coast.[1]In Ivory Coast, Waslamu wanasali, wanafunga, na kutoa sadaka kama inavyohitajika na mafunzo ya Kiislamu, na walio wengi huenda hija na imefanywa kama kiada. Waislamu walio wengi wa Kiivoiri ni dhehebu laSunni, wanaofuata mafundisho ya ImamMaliki.[2][3][4]

Picha

[hariri |hariri chanzo]
  • Shule ya Kiislamu kwa ajili ya watoto nchini Ivory Coast.
    Shule ya Kiislamu kwa ajili ya watoto nchini Ivory Coast.
  • Muislamu akisalisha huko ncnini Ivory Coast.
    Muislamu akisalisha huko ncnini Ivory Coast.

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo mnamo 2020-08-31. Iliwekwa mnamo2015-07-05.
  2. Noble Timothy Myers.The Huevolution of Sacred Muur Science Past and Present. uk. 72. Iliwekwa mnamoMei 31, 2014.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Dissertation Abstracts International: The humanities and social sciences. Iliwekwa mnamoMei 31, 2014.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. Richard Brent Turner.Islam in the African-American Experience. uk. 130. Iliwekwa mnamoMei 31, 2014.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Nchi huru
Nchi zisizokubaliwa
na umma wa kimataifa
Maeneo ya Afrika ya kujitawala
chini ya nchi nyingine

Visiwa vya Kanari /Ceuta /Melilla(Hispania) ·Madeira(Ureno) ·Mayotte /Réunion(Ufaransa) ·Saint Helena(Ufalme wa Muungano) ·Zanzibar(Tanzania)

Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Uislamu_nchini_Ivory_Coast&oldid=1197318"
Jamii:
Jamii zilizofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp