Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Ugatuzi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bunge lafunguvisiwa laAland katika nchi yaUfini.

Ugatuzi (kwaKiingereza:devolution) ni mfumo wautawala unaogawamadaraka ya uamuzi kutoka katika ngazi ya juu yaserikali na kuyapeleka katika ngazi ya chini (serikali za mitaa)[1][2].

Namna ugatuzi unavyofanyika inategemeasheria za nchi husika.

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. "What is devolution?".BBC Academy (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo2019-02-22.
  2. "Devolution: A beginner's guide" (kwa Kiingereza (Uingereza)). 2010-04-29. Iliwekwa mnamo2019-02-22.
Stub iconMakala hii kuhusu mambo yasiasa bado nimbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuongezea habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Ugatuzi&oldid=1343592"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp