Tumi Molekane
Zana
Kijumla
Chapa/peleka nje
Miradi mingine
Tumi Molekane | |
![]() T akiburudisha katika mapokezi ya tukio la Ubunifu kwa Afya Bora | |
Amezaliwa | 16 Agosti1981 Tanzania |
---|---|
Nchi | Afrika Kusini |
Kazi yake | mshairi /mwimbaji |
Tumi Molekane (16 Agosti1981) nimshairi namwimbaji wamuziki wa kufokafoka wa nchiniAfrika ya Kusini; alikuwa mmoja waviongozi wakundi lamuziki laTumi and the Volume lililokuja kuvunjikamwaka2012. Mwaka2016 Tumi alianzisha kundi jingine lilioitwaStogie T[1] na kuachiaalbamu yao ya kwanza ilioitwaStogie T wakishirikiana naDa L.E.S, Lastee,Emtee,Nasty C,Nadia Nakai naYanga.[2]
Molekane alizaliwa nchiniTanzania nawazaziraia wanchi yaAfrika Kusini.[3] Mwaka1992 alihamia nchini Afrika ya Kusini na kuishi katikamji waSoweto.[4]
![]() | Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuTumi Molekane kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari. |