Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

The Walt Disney Company

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
alama ya kampuni

The Walt Disney Company (huitwa kwakifupi:Disney) ni moja katimakampuni makubwa yaburudani navyombo vya habariduniani.

Kampuni ilianzishwa mnamomwaka wa1923 naWalt Disney nandugu yake,Roy Oliver Disney, kwajina laDisney BrothersCartoon Studio.[1]

Ilikuwa na jina laWalt Disney Productions kuanzia miaka ya1930 na hadi mwanzoni mwa mwaka wa1986.

Disney Enterprises Inc. nikampuni tanzu ya Walt Disney; jina ambalo linapatikana katikabidhaa nyingi zilizopewa haki ya kuuza chini ya jina laWalt Disney,Walt Disney World Resort.

Matawi

[hariri |hariri chanzo]

Vitengo vikuu vya kampuni niStudio Entertainment, Vituo vya Maonyesho na Mahoteli, Mitandao ya Habari na Bidhaa za Zilizotayari Kununuliwa.

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. "Roy Disney, nephew of Walt Disney, dies at 79". Iliwekwa mnamo2009-12-16.

Viungo vya Nje

[hariri |hariri chanzo]
Kampuni rasmi
Walt Disney
Studio Entertainment
Disney-ABC
Television Group
Walt Disney
Parks and Resorts
Marvel Entertainment
Disney Interactive
Media Group
Vituo vya redio
Mengineyo
mali
Tanbihi: 1. Inaendeshwa naBirach Broadcasting, inashikiriwa na Disney chini yaLMA.
2. Disney anongeza na kuendesha kituo kinachomlikiwa na James Crystal Radio chini yaLMA.
3. Disney anongeza na kuendesha kituo kinachomlikiwa naLiberman Broadcasting chini ya LMA
Mapato ya Mwaka: bilioni $35.5USD (2007) ·Waajiriwa: 137,000 (Machi 2008) ·Stock Symbol:NYSE: DIS ·Tovuti:corporate.disney.go.com
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=The_Walt_Disney_Company&oldid=1244005"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp