Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Wilaya ya Temeke

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutokaTemeke)
Mahali pa Temeke (kijani cheusi) katikamkoa wa Dar es Salaam.

Wilaya ya Temeke niwilaya mojawapo kati ya 5 zaMkoa wa Dar es Salaam nchiniTanzania yenyepostikodinamba15000.

Katikasensa yamwaka2012,idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 1,368,881[1]. Katikasensa ya mwaka2022 walihesabiwa 1,346,674[2].

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo mnamo 2010-02-10. Iliwekwa mnamo2010-10-30.
  2. https://www.nbs.go.tz
Kata za Wilaya ya Temeke -Tanzania

Azimio |Buza |Chamazi |Chango'mbe |Charambe |Keko |Kibondemaji |Kiburugwa |Kijichi |Kilakala |Kilungule |Kurasini |Makangarawe |Mbagala |Mbagala Kuu |Mianzini |Miburani |Mtoni |Sandali |Tandika |Temeke |Toangoma |Yombo Vituka


Makala hii kuhusu maeneo yaDar es Salaam bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusuWilaya ya Temeke kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Wilaya_ya_Temeke&oldid=1308203"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp