Sunan Abi Daud ni mkusaniko wa hadith za Mtume Muhammad ambazo ni msingi wa kuamulia sunna yake
Sunna (pia:sunnah, kutokaKiarabu: سنة,neno linalomaanisha "mila", "mapokeo" au "njia".[1]) KwaWaislamu, Sunnah inamaanisha "njia ya mtumeMuhammad"[2].
Wasomi Waislamu wanajifunza juu ya Sunna kwa kusomahadithi elfu kadhaa juu ya Muhammad,familia yake, na wafuasi wake wa kwanza. Haditho hizi zinaitwaHadith.
Jina ladhehebu kubwa katika Uislamu niWasuni, nalo limetokana na neno sunna, kwa maana ni waumini wanaolenga kufuata sunna ya mtume wao.
↑Juynboll, G.H.A. (1997). "Sunna". In P. Bearman; Th. Bianquis; C.E. Bosworth; E. van Donzel; W.P. Heinrichs (eds.). Encyclopaedia of Islam. 9 (2nd ed.). Brill. pp. 878–879.
↑ Qazi, M.A.; El-Dabbas, Mohammed Saʿid (1979). A Concise Dictionary of Islamic Terms. Lahore, Pakistan: Kazi Publications. p. 65.