Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Simetali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

KatikaKemia,simetali ni ziletindikali ambazo hasa zinakosa sifa autabia zametali.Kifizikia simetali zinakuwa na haja yajoto kidogo ili kuyeyuka, nauzito ni ndogo. Simetali huwa za kungaaikiwa katika hali ya yabisi, uwezo mdogo wa kupitishaumeme na kupitisha joto.

Zina tabia ya kupokea au kupotezaelektroni pale zinapotaka au kuungana naelementi aukampaundi. Kuna elementikumi na saba ambazo ni simetili ambazo nyingi zake nigesi. Mfano wa simetali gesi nioksijeni,haidrojeni,florini,klorini,argoni,kriptoni,senoni naradoni. Moja ni kimiminika (bromini), na chache niyabisi, kwa mfanokaboni,fosforasi,salufa,seleni.

Makala hii kuhusu mambo yakemia bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuSimetali kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Simetali&oldid=1323814"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp