Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Silvano wa Homs

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro mdogo wakifodini chake na cha wenzake Luka na Mosyo.

Silvano wa Homs (alifarikiHoms,Syria,311 hivi) alikuwa kwa miakaarubainiaskofu wamji huo ambaye aliuawa kwaimani yaKikristo kwa kutupwa pamoja nashemasiLuka namsomajiMosyo waliwe nawanyama wakati wadhuluma yakaisariMaximinus[1].

Tangu kale anaheshimiwa naWakatoliki naWaorthodoksi kamamtakatifumfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwatarehe6 Februari[2].

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/91127
  2. Martyrologium Romanum
Makala hii bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuiongezea habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Silvano_wa_Homs&oldid=1237432"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp