Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Sam Kerr

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sam Kerr akiwa Chelsea mnamo Februari 2020

Samantha May Kerr (alizaliwa10 Septemba1993) nimchezaji wampira wa miguu kutokaAustralia ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu yaChelsea ya Ligi ya Wanawake ya FA(WSL), na timu ya taifa ya wanawake ya Australia, ambayo amekuwa nahodha tangu2019.

Anajulikana kwa kasi, ustadi wake na ukakamavu akiwa uwanjani,[1] Kerr anachukuliwa kuwa mmoja wa washambuliaji bora zaidi ulimwenguni, na mmoja wawanariadha wakubwa wa Australia.[2][3]

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. "Sam Kerr's latest exploits mark her out as one of Australia's greatest athletes | Joey Lynch".the Guardian (kwa Kiingereza). 9 Mei 2022. Iliwekwa mnamo10 Mei 2022.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Smith, Rory."Australia's New Queen".New York Times. Iliwekwa mnamo7 Machi 2024.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Vinall, Frances (14 Julai 2023)."Sam Kerr mania heats up as Australia readies to co-host soccer World Cup".Washington Post (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo7 Machi 2024.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuSam Kerr kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Sam_Kerr&oldid=1328307"
Jamii:
Jamii iliofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp