Salami inatengenezwa kwa kuchanganyanyamanyekundu na nyama yamafuta baada ya kusaga yote mawili kwa vipande vidogo lakini ukubwa hutegemea aina yake[2].
Kimapokeo nyama iliyosagwa na kutiwa chumvi na viungo hujazwa katikautumbo lakini siku hizi salami zinatengenezwa mara nyingikiwandani ambakomirija yaplastiki hutumiwa.
Baada ya kujaza, aina nyingine hukaa tu hewani penye baridi ili zikauke na kuiva; aina nyingine huwekwa kwanza katikachumba chenyemoshi baridi ambamo zinapokealadha ya ziada halafu kukauka hewani.
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuSalami (chakula) kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.