Hivyo Sahel inakabili hatari kubwa ya kugeuka jangwa, pia kwa sababu wakazi wake, kwa kushindwakulima ipasavyo, wanategemeaufugaji wawanyama wengi mno ambao wanazidi kuharibumazingira.
Makala hii kuhusu maeneo yaAfrika bado nimbegu. Je unajua kitu kuhusuSahel kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.