Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Purim

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Igizo la Purim.

Purim (פּוּרִים,Pûrîm, yaani bahati, kutoka nenopur,[1] kuhusiana naKiakadipūru) nisherehe ya kilamwaka yaWayahudi.

Inaadhimishwa katika tarehe 14 yamwezi wa Kiyahudi waAdar, au tarehe 15 sehemu fulanifulani.

Sikukuu hiyo inafanyaukumbusho wawokovu wataifa laIsraeli lililokabilimaangamizi ya kimbari yahalaiki katikadola laUajemi.

Kadiri yaKitabu cha Esta,njama hiyo ilishindikana hasa kwa juhudi wa huyoEsta aliyebahatika kuwamalkia wa dola hilo wakati huo.

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. Est 9:24, 27.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Purim&oldid=1202550"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp