Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Polima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Molekuli ya selulosi ni polima
Vitu vilivyotengenezwa polyethilini ya polima na polypropylene.

Polima (kutokaKiingereza "polymer") nimolekuli ndefu iliyotengenezwa kwa kuungana pamojavizio vingi vidogo vyakemikali.

Jina polima linatokana naneno ambalo ni laKigiriki chakisayansi lililopatikana kwa kuunganisha πολύpoli ‘nyingi‘ na μέροςmeros ‘sehemu, kizio‘ kwa hiyo kumaanisha "ya vizio vingi". Hii inaonyesha jinsimuundo wa polima unavyokuwa na vizio vingi vidogo vilivyounganishwa pamoja kuwamolekuli kubwa.

Mmenyuko wa kikemia unaounganisha vizio vya kemikali kuunda polima huitwaupolimishaji.

Polima asilia

[hariri |hariri chanzo]

Polima nyingine ni za asili na zinafanywa naviumbe.Protini zina molekuli za polipeptidi. Hizi ni polima asilia zinazounganisha vizio vyaasidi amino.

Selulosi nawanga (zote mbili nikabohidrati) pia ni polima asilia zinazounganisha vizio vyaglukosi.Mpira ni mchanganyiko wa polima asilia.

Polima zinazotegnezewa

[hariri |hariri chanzo]

Plastiki ni polima zilizotengenezwa namwanadamu.Nyuzi nyingi zinafanywa na polima.

Makala hii kuhusu mambo yakemia bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuPolima kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Polima&oldid=1097885"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp