Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Persepolis

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jumba la Tachar, Persepoli
Filamu inayoonyesha jinsi Persepolis ilivyoonekana kabla ya kuharibika.

Persepolis (kwaKiajemi cha Kale:Pars<nowiki>'a; kwaKifarsi: تخت جمشید,Takht-e Jamshid) ilikuwa mmoja kati yamiji mikuu minne katikaUajemi ya Kale wakati wanasaba ya Waakhameni.

Waajemi wa kale waliiita Parsa, maana "Pars" ilikuwa moja yamajimbo makuu yamilki yao na Uajemi yenyewe. Kwa hiyojina lilimaanisha "mji wa Waajemi". Persepolis (kwaKigiriki: Περσες πόλιςperses polis) nitafsiri ya jina kwa Kigiriki. KatikaIran ya leo panaitwa "Takht-e-Jamshid" (Kiti cha Enzi cha Jamshid).

Hakuna uhakika kama ulikuwamji kamili au zaidi tujumba kubwa lakifalme.Ujenzi ulianza mnamo515 KK chini yamfalmeDario I. Wafalme waliomfuata waliendelea kuipanua. Lote liliharibika mnamo mwaka330 KK wakatijeshi la Wagiriki chini yaAleksander Mkuu walipovamiaUajemi.

Jengo kubwa huko Persepolis niukumbi wa Apadana wenyenguzo 72.

Persepolis imekubaliwa katika orodha yaUrithi wa Dunia waUNESCO tangu mwaka1979.

Viungo vya Nje

[hariri |hariri chanzo]
Angalia mengine kuhusuPersepolis kwenye miradi mingine yaWikimedia:
Fafanuzi za Kiingereza kutoka Wiktionary
picha na media kutoka Commons
nukuu kutoka Wikiquote
matini za ushuhuda na vyanzo kutoka Wikisource
vitabu kutoka Wikibooks
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Persepolis&oldid=1346218"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp