Kwa kuwa katikauchaguzi makardinali walimpigakura kwanza mwenzao Rampolla, lakini huyo aliwekewa kura yaturufu naKaisari waAustria-Hungaria, mara alipochaguliwa Pius X alifutahaki hiyo ya Kaisari na kuamua atengwe naKanisa Katoliki yeyote atakayeingilia tena uchaguzi wa Papa.
Makala hii kuhusu Papa fulani bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuPapa Pius X kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuiongezea habari.