Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Papa Boniface III

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutokaPapa Bonifasi III)
Papa Bonifasi III.

Papa Boniface III alikuwaPapa kuanziatarehe19 Februari607 hadikifo chake tarehe10 Novemba607[1]. AlitokeaRoma,Italia[2].

AlimfuataPapa Sabiniano akafuatwa naPapa Bonifasi IV.

Ingawa aliongoza muda mfupi, alichangia sana uimarishaji wa miundo yaKanisa Katoliki.

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  • Ekonomou, Andrew J. 2007.Byzantine Rome and the Greek Popes: Eastern influences on Rome and the papacy from Gregory the Great to Zacharias, A.D. 590–752. Lexington Books.

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
karne ya 1 hadi ya 4
karne ya 5 hadi ya 8
karne ya 9 hadi ya 12
karne ya 13 hadi ya 16
karne ya 17 hadi ya 20
karne ya 21
Makala hii kuhusu Papa fulani bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuPapa Boniface III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuiongezea habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Papa_Boniface_III&oldid=1216689"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp