Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Pambo wa jangwani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Pambo wa Nitria.

Pambo wa jangwani (kwaKigiriki: Όσιος Παμβώ; kwaKiarabu-Kikopti: موا au بيموا,Pemwah auBemwah; alifariki375 hivi) ni kati yaWakristo waMisri waliokwenda kuishijangwani chini yaAntoni Mkuu[1]. Baadaye alianzishamonasteri nyingi.[2]

Alijulikana kwahekima yake akaombwa shauri na wengi, wakiwemoAthanasius,Melania Mzee naRufinus.

Kati yawanafunzi wake wamoPishoy naYohane Mbilikimo.

Tangu kale anaheshimiwa naWakatoliki naWaorthodoksi kamamtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwatarehe1 Julai au18 Julai[3][4][5].

Misemo yake

[hariri |hariri chanzo]

Misemo yake katikatafsiri yaKiswahili inapatikana ndani yakitabu:

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. As a youngster, Saint Pambo once asked Saint Anthony "My Father, teach me to live well." To which the great Saint Anthony answered "My son, to live well, one must have a great distrust of oneself, with every effort watch over one's heart and mind, and in all things seek God alone." Translation from Jugendspiegel Ludwig Donin, Amberg 1876, Saint Pambo 6 September
  2.  "Thebaid" .Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company. 1913.
  3. Saint Pambo, Patron Saints Index, SQPN.
  4. "Преподобный Памва Нитрийский", "Pravoslavie.RU", in Russian.
  5. https://catholicsaints.info/saint-pambo-of-the-nitrian-desert/
Makala hii bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuiongezea habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Pambo_wa_jangwani&oldid=1101754"
Jamii:
Jamii iliofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp