Oregon ni jimbo laMarekani upande wa magharibi-kazkazini ya nchi. Iko kwenye pwani laPasifiki.Mji mkuu niSalem naPortland ni mji mkubwa. Impekana naWashington,Idaho,Nevada naCalifornia. Jimbo lina wakazi wapatao 3,790,060 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 255,026.Miji muhimu baada ya Portland niEugene,Astoria,Medford naBend.
Makala hii kuhusu maeneo yaMarekani bado nimbegu. Je unajua kitu kuhusuOregon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.