Kaulimbiu ya taifa: Alt for Norge ("Yote kwa Unowe" ni wito wa kifalme) Kiapo kufuatana na katiba ya1814 : "Enige og tro tilDovre faller" ("Pamoja na waaminifu hadi milima ya Dovre inaporomoka")
1Lugha rasmi ya Kinowe inapatikana kwa namna mbili:bokmål zaidi kama lugha ya kimaandishi naNynorsk zaidi kama lugha ya majadiliano ingawa inaandikwa pia. Lugha yaKisami ni lugha rasmi katika miji 6 naKifini katika mji mmoja.
Mji mkuu niOslo, wenye wakazi wanaozidi 530,000.Miji mingine mikubwa ni pamoja naBergen wenye wakazi 230,000 naTrondheim wenye wakazi 150,000; yote miwili imewahi kuwa miji mikuu ya Unowe katika miaka ya mwanzoni.[2]
Katika dini nyingine, unaongozaUislamu (3.1%) ulioletwa nawahamiaji kutoka nchi mbalimbali walioongezeka sana kuanzia miaka ya mwisho yakarne ya 20. 21.2% hawana dini yoyote.
Makala hii kuhusu maeneo yaUlaya bado nimbegu. Je unajua kitu kuhusuNorwei kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.