Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Nijo wa Japani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutokaNijo)
Mchoro wa Nijo

Nijo (31 Julai,11435 Septemba,1165) alikuwa mfalme mkuu wa 78 (Tenno) waJapani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwaMorihito, na alikuwa mwana wa kwanza wa TennoGo-Shirakawa. Mwaka wa1158 alimfuata babake na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1165, muda mfupi kabla ya kifo chake kupitia ugonjwa. Aliyemfuata kama Tenno ni mwana wakeRokujo.

Angalia pia

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii kuhusuKaizari fulani waJapani bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuNijo wa Japani kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Nijo_wa_Japani&oldid=1014023"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp