Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

New Jersey

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jumba la Jimbo la New Jersey huko Trenton
New Jersey

Bendera

Nembo
NchiBendera ya Marekani Marekani
Mji mkuuTrenton
Eneo
 - Jumla22,588km²
 - Kavu19,211 km² 
 - Maji3,377 km² 
Tovuti:  http://www.nj.gov/

New Jersey (Jersey Mpya) nijimbo la kujitawala la Muungano wa Madola ya Amerika auMarekani. Mji mkuu niTrenton lakini mji mkubwa niNewark. Uko kwenye pwani yaAtlantiki upande wa mashariki ya Marekani bara.

Impepakana naNew York,Delaware naPennsylvania. Upande wa mashariki maji yaAtlantiki.

Jimbo lina wakazi wapatao 8,682,661 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 22,608.

New Jersey ilikuwa koloni yaUingereza tangu 1729 na pia moja kati ya koloni 13 zilizoasi dhidi ya Uingereza mwaka1776 na kuunda nchi mpya ya Marekani tangu1778.

Viungo vya Nje

[hariri |hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo yaNew Jersey bado nimbegu.
Je unajua kitu kuhusuNew Jersey kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=New_Jersey&oldid=1179650"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp