Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Nazari na Chelsi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nazari na Chelsi (waliosimama),mchoro waTiziano.

Nazari na Chelsi (walifariki labdaMilano,Italia,304 hivi) walikuwaWakristo waliofiaimani yao wakati wadhuluma yaDola la Roma.

Ambrosi aligunduamasalia yaomwaka395[1], lakini habari nyingi juu yao hazinamsingi katikahistoria[2][3].

Tangu kale wanaheshimiwa naWakatoliki,Waorthodoksi na wengineo kamawatakatifuwafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwatarehe28 Julai[4].

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. Catholic Encyclopedia (1913), "Sts. Nazarius and Celsus" Retrieved 2012-03-04.
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/64650
  3. Saint Gregory (Bishop of Tours) (1988). Raymond Van Dam, tr. (mhr.).Glory of the Martyrs. Liverpool: Liverpool University Press. ku. 69–70.ISBN 978-0-85323-236-0.
  4. Martyrologium Romanum

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuiongezea habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Nazari_na_Chelsi&oldid=1323846"
Jamii:
Jamii zilizofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp