Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Namasi wa Vienne

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Namasi wa Vienne (pia:Namasius, Naamat, Namat, Namatius;486 -559 hivi) alikuwamtawala waProvence, halafuaskofu mkuu waVienne,Ufaransa hadikifo chake[1][2][3].

Katika nafasi zote mbili aliongoza kwauadilifu[4].

Tangu kale anaheshimiwa naWakatoliki naWaorthodoksi kamamtakatifu.Papa Pius X alithibitishaheshima hiyo tarehe 9 Desemba 1903[5].

Sikukuu yake inaadhimishwa kilamwakatarehe17 Novemba[6].

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. Bernard de Vregille, BSS, vol. IX (1967), col. 708.
  2. Edmond Le Blant,Inscriptions chrétiennes de la Gaule antérieures au VIIIe siècle, t. II (1865), pp. 96-99.
  3. Louis Duchesne,Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. I (1907), pp. 190-192.
  4. https://www.santiebeati.it/dettaglio/77920
  5. Index ac status causarum (1999), pp. 464 e 599.
  6. Martyrologium Romanum

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuiongezea habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Namasi_wa_Vienne&oldid=1377432"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2026 Movatter.jp