Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Mwili

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro waLeonardo da Vinci (1492).
Mchoro wa mwanzo wakarne ya 19.

Mwili ni kile kinachofanyabinadamu aonekane na kuishi katikaulimwengu, kwa kufanana nawanyama ambao pia wana mwili.

Tofauti kubwa iliyopo kati yaviumbehai hao, yaani mtu na mnyama, upande wa uwezo waakili na utendaji pengine inaelezwa nadini,falsafa n.k. kwa kudai uwepo waroho pia katikaumbile la binadamu.

Mwili wa binadamu unaundwa nakiwiliwili pamoja na viungo kwa mfanokichwa,shingo,kifua,mikono mgongo namiguu. Mwili unamifupa 206 ingawa binadamu anapozaliwa huwa na mifupa 270 ambayo baadaye huungana[1].

Umbo lake linategemeaurithi lakini piamaisha ya mtu yalivyo.Urefu unategemea mambo mbalimbali, kama vilejinsia, kwa maana kwa kawaidawanaume ni warefu kulikowanawake.

Kabla ya kufikiautu uzima, mwili unaundwa naselibilioni 100.000.

Baada ya kufa, mwili wa binadamu unaitwamaiti, wakati ule wa mnyama unaitwa mzoga.

Elimu ya mwili huitwaanatomia.

Marejeo

[hariri |hariri chanzo]
  1. "How Many Bones Are There In Human Body?".
Makala hii kuhusu mambo yaanatomia bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuMwili kama matumizi yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mwili&oldid=1307108"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp