Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Mwana wa Daudi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Samueli akimpaka mafuta Daudi kati ya kaka zake, mchoro waDura Europos,Syria,karne ya 3.
Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Yesu
YesuKristo naUkristo

Umwilisho  •Utoto wa Yesu  •Ubatizo
Arusi ya Kana •Utume wa Yesu •Mifano ya Yesu  •Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura •Karamu ya mwisho •Msalaba wa Yesu  •Maneno saba
Kifo cha Yesu  •Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  •Ujio wa pili
Injili  •Majina ya Yesu katika Agano Jipya  •Yesu kadiri ya historia  •Tarehe za maisha ya Yesu •Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi •Kiaramu •Bikira Maria •Yosefu (mume wa Maria) •Familia takatifu •Ukoo wa Yesu •Ndugu wa Yesu •Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya ·Mitazamo ya Kikristo •Mitazamo ya Kiyahudi •Mitazamo ya Kiislamu •Yesu katika sanaa

Mwana wa Daudi ni jina laheshima lawanaume waliotokana na vizazi vyamfalme Daudi na hivyo kuhusishwa naahadi alilopewa nanabii Nathani kwambaukoo wake utatawala milele (2Sam 7:1-29).

Kwa namna ya pekee jina hilo lilitumika kwaYesu aliyetambuliwa na wengi kuwa ndiyeMasiya aliyetazamiwa, ama wakati wamaisha yake au baada yakifo chake.

Injili ya Mathayo naInjili ya Luka zinasisitizahaki ya Yesu kuitwa hivyo kwa kuorodhesha vizazi kati ya Daudi naYosefu,mume waBikira Maria,mama yake.

Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuMwana wa Daudi kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mwana_wa_Daudi&oldid=927479"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp