Afrika duniani.Afrika kutoka kwenyeMwezi (Ocktoba 2015)Uwiano kati ya Afrika, Asia na Amerika.
Afrika nibara la piliduniani kwa ukubwa, likiwa na eneo lakilometa za mraba zipatazo 30,370,000 na kwaidadi ya wakazi, hao wakiwa 1,225,080,510 (mwaka2016).Asia ndiyo bara kubwa pekee zaidi ya Afrika.
Maeneo ya ndani kuelekea kusini mara nyingi yaliitwa kwa jina la "Ethiopia" linalomaanisha nchi ya watu weusiweusi (kwaKigiriki "aithiops": aliyechomwa najua).
Katikaramani za kale kutokaUlaya maneno yote matatu ya "Afrika", "Lybia" na "Ethiopia" yanapatikana yakitumika kama jina la bara zima. Jina la "Afrika" limekuwa la kawaida kuanziakarne ya 16BK.
Jiografia
Afrika imezungukwa na bahari karibu pande zote. Kuna kiungo chembamba cha nchi kavu upande wakaskazinimashariki na bara la Asia kwenyerasi ya Sinai[4].
Barani kunanchi huru 54 zinazotambuliwa naUmoja wa Mataifa, maeneo 9 yenye hali ya pekee namadola mawili ambayo yanajitawala bila kutambuliwa kimataifa.
Wataalamu wengi wanakubaliana kutambua Afrika kama asili yabinadamu wote walioko duniani.[9]
Mwaka 2010 idadi ya wakazi wa nchi zote za Afrika ilipitabilioni 1. Ni kwambaidadi yao imeongezeka sana katika miaka 40 iliyopita, ikipiku zile zaUlaya naAmerika.
Ilhali mwaka1950 walikuwepo Waafrika milioni 229 pekee, idadi iliongezeka kuwa milioni 630 mwaka1990 na milioni 1200 mnamo2014.[10][11]
Hivyoasilimia yawatoto navijana ni kubwa. Kuna nchi kadhaa ambako zaidi yanusu ya wananchi wako chini yaumri wa miaka 25.[12] Wakazi wa Afrika ni vijana kuliko wale wa mabara mengine yote;[13][14] mwaka2012 umri wa wastani ulikuwa miaka 19.7, wakati kidunia ulikuwa 30.4.[15]
Waafrika wanaimani za dini nyingi tofauti, lakinitakwimu zinazotolewa hazina hakika, pia kwa sababu suala hilo ni nyeti kisiasa kwaserikali zenye mchanganyiko mkubwa wa watu, kama vileNigeria,Ethiopia naTanzania.[19][20]
↑Georges, Karl Ernst (1913–1918)."Afri". Katika Georges, Heinrich (mhr.).Ausführliches lateinisch-deutsches Handwörterbuch (kwa German) (tol. la 8th). Hannover. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo mnamo 2016-01-16. Iliwekwa mnamo20 Septemba 2015.{{cite encyclopedia}}:Unknown parameter|= ignored (help)CS1 maint: date auto-translated (link) CS1 maint: location missing publisher (link) CS1 maint: unrecognized language (link)"Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo mnamo 2016-01-16. Iliwekwa mnamo2016-03-01.
↑Lewis, Charlton T.; Short, Charles (1879)."Afer".A Latin Dictionary. Oxford: Clarendon Press. Iliwekwa mnamo20 Septemba 2015.{{cite encyclopedia}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Moore, Clark D., and Ann Dunbar (1968).Africa Yesterday and Today, in series,The George School Readings on Developing Lands. New York: Praeger Publishers.