Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Mvua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mawingu wa mvua mlimani

Mvua ni matone yamaji yanayoanguka chini kutokamawinguangani.

Mvua ni aina yausimbishaji. Kama matone yafikiakipenyo cha zaidi yamilimita 0.5 huitwa mvua. Kama matone ni madogo zaidi kunaitwamanyonyota. Mgongoni mwa ardhi mvua imetapaka kisawasawa.

Kutokea kwa mvua

[hariri |hariri chanzo]

Asili ya mvua nimvuke wamaji katikaangahewa. Kiasi cha mvuke hewani kutajwa kamagramu za maji kwakilogramu yahewa.[1][2] Kiasi chaunyevu (yaani maji) katika angahewa huitwaunyevuanga. Uwezo wa hewa kushika unyevuanga hutegemeahalijoto ya hewa. Hewabaridi ina uwezo mdogo kutunza unyevu ndani yake, kiasi kinaongezeka kadiri halijoto iko juu zaidi. Pale ambapo hewa inafikia hali ya kushiba unyewu unaanza kutonesha yaani matone kutokea. Wakati matone yanafikia kiwango fulani chauzito yanaanza kuanguka chini yaani mvua inaanza kunyesha.

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. Steve Kempler (2009)."Parameter information page".NASAGoddard Space Flight Center. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo mnamo Novemba 26, 2007. Iliwekwa mnamo2008-12-27.{{cite web}}:Unknown parameter|= ignored (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Mark Stoelinga (2005-09-12).Atmospheric Thermodynamics(PDF).University of Washington. uk. 80. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutokachanzo(PDF) mnamo 2010-06-02. Iliwekwa mnamo2010-01-30.
Makala hii kuhusu mambo yasayansi bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuMvua kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mvua&oldid=1201497"
Jamii:
Jamii zilizofichwa:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp