Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Mtaalamu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wataalamu watatu wa nyota katikaInjili ya Mathayo,kanisa kuu laCologne,Ujerumani.

Mtaalamu (kutoka neno laKiarabu lenye mzizi mmoja na neno 'elimu') mara nyingi humaanishamtu ambaye nibingwa katikataaluma fulani.

Mtaalamu anaaminika katikafani yake kama chanzo chaujuzi aumaarifa.

Utaalamu huo unaweza kutegemeaelimu, lakini pengine piamalezi,ufundi,maandishi au mang'amuzi yake.

Kihistoria, mtaalamu aliweza kuitwamzee wa hekima.

Mtu huyo kwa kawaida alikuwa nauwezo mkubwa upande waakili pamoja nabusara katika maamuzi.[1]

Mfano; mtaalamu walugha za alama, mtaalamu wa kuchorapicha, mtaalamu wa kutunga mashairi yanyimbo.

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. Wise man

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Makala bado nimbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuongezea habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mtaalamu&oldid=1307166"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp