Kabla ya kuvumbua namna ya kutengenezaumeme, mishumaa na taa za mafuta ndivyo vilivyotumika kuleta mwanga, kama ilivyo bado umeme huo usipopatikana.
Lakini katika nchi zilizoendelea, mishumaa inatumika bado kwa mapambo tu, hasa mahali paibada au kuhusiana nayo.[6] Muhimu kuliko yote nimshumaa wa Pasaka.
Makala hii kuhusu mambo yateknolojia bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.