Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Mnyama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wanyama
Wanyama mbalimbali; kutoka juu-kushoto mpaka chini-kulia: kiti cha pweza, sifongo-bahari, ngisi kibete, konyeza, nondo-chui, mwata, kombe-taa, chui milia, mfoko-bahari, kidudu-dubu, mnyama-kigoga, mkunga-chui, kaa, daa kichwa-miiba, kunguru buluu, buibui mrukaji, mnyoo-bapa bahari, daa-upepeo.
Uainishaji wa kisayansi
Domeni:Eukaryota
Himaya:Animalia
Linnaeus, 1758
Ngazi za chini

Faila:

Wanyama (jina la kisayansi nianimalia na hutoka katikaKilatini) niviumbehai wasiommea,kuvu,bakteria,protista auarkea. Vile vile tunaweza kusemawanyama ni viumbehai wanaotegemeachakula kutoka sehemu nyingine: wao hawana uwezo wa kujitengenezea chakula chao wenyewe kupitiausanisinuru (nishati yajua) lakini kutoka kwa viumbehai vingine ama wanyama wengine au mimea.

Kufuatana na aina ya chakula tunatofautisha hasa wanaokula mimea wanaoitwawalamani auwalamea (kwaKiingereza:herbivorous) na wanaokulanyama wanaoitwawalanyama au wagwizi (ing.carnivorous). Kuna pia walavyote (ing.omnivorous) wanaoweza kula kila kitu, ama mimea ama wanyama wengine (ing.omnivorous).

Wanyama wanahitajioksijeni kwakupumua.

Wanyama walio wengi hutembea yaani hubadilisha mahali wanapokaa, kwa hiyo wanahitajimilango ya maarifa.

Sayansi inayochunguza wanyama huitwazoolojia, ambayo nitawi labiolojia.

Aina za wanyama ni nyingi sana. Mara nyingi aina zao zinatofautishwa kama ni wanyama wenyeseli nyingi (metazoa) au seli moja (protozoa) tu.

Kuna wanyama wanaoishi peke yao, katika vikundi najamii. Mfano wa wanyama wanaoishi peke yao nikifaru aunyoka. Wanajumuika kwa tendo la kuzaa pekee. Mfano wa wanyama wa jumuiya nisimba wanaokaa na kuwinda pamoja. Ushirikiano unasaidia kupata chakula bora. Mfano wa wanyama katika jamii ninyuki nawadudu wengine.

Upande wamwili hatabinadamu ni mnyama na kimaumbile anahesabiwa kati yamamalia.

Binadamu hutofautisha mara nyingi wanyama wakubwa zaidi, kwa kawaida wenyeuti wa mgongo (kwa Kilatini:Chordata), kati ya:

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo yabiolojia bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusuMnyama kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
  1. https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/usasa-unavyowahatarisha-watu-kuambukizwa-3572078
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mnyama&oldid=1307101"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp