Mfalme Ashoka, mwana wa Bindusara, alikuwa mtawala wa Milki ya Maurya mnamo268 KK. Anahesabiwa kati ya watawala mashuhuri zaidi waBara Hindi. Ashoka alishinda Kalinga katikavita kali inayojulikana kamaVita ya Kalinga. Hii ndiyo vita pekee iliyopigwa na Mfalme Ashoka. Waliokufa ni zaidi ya watu 200,000. Mkoa wa Kalinga uliharibiwa na ulionekana umwagajidamu. Hii ilibadilisha mawazo ya Ashoka. Alijitoleamaisha yake yote kwa "ahinsa" na "dharma-vijaya". AkawaMbudha baada ya vita hivi.Amri zake zimehifadhiwa kamamwandishi uliochongwa katikamiamba kwenye milki yake.
Nembo ya kisasa ya Uhindi ilinakiliwa kutoka kwa moja yanguzo zake za mwamba. Kwa kawaida aliitwa Ashoka Mkuu.