Uwanja wa ndege wa Martinique Ramani ya Martinique.Martinique (kwa Kifaransa; kwa Krioli: "Matinik" au "Matnik") nikisiwa chaAntili Ndogo katikaBahari ya Karibi . Nieneo la ng'ambo la Ufaransa namkoa (departement) waUfaransa . Hivyo ni sehemu yaUmoja wa Ulaya .
Eneo lake nikm² 1,128.
Makao makuu niFort-de-France .Miji mingine ni pamoja naSainte-Anne naSt. Pierre (iliyoharibiwa namlipuko wa volkeno yaMont Pelee mwaka 1902 ).
Idadi ya wakazi ni 376,480. Takriban 83% ni waasili yaAfrika au machotara wa aina mbalimbali. Wazee wao waliletwa huko kamawatumwa kwa ajili yakazi katika mashamba yamiwa . Kikundi kikubwa cha pili niWahindi (10%),Wazungu (6%). Waliobaki niWaarabu ,Wachina n.k.
Lugha rasmi niKifaransa , lakini wengi wanaongea piaKrioli yenye asili ya Kifaransa ambayo hata hivyo haieleweki tena naWafaransa waUlaya .
Upande wadini , wengi niWakristo : 86% niWakatoliki , 5.6%Waprotestanti .
Martinique ni maarufu kwamuziki wake wazouk .Mwanamuziki mashuhuri wa aina hii niKassav .
Guadeloupe , eneo lingine la Ufaransa katika Bahari ya KaribiWikiMedia Commons
Serikali Taarifa za jumla Safari Makala hii kuhusu maeneo yaBahari ya Karibi bado nimbegu . Je unajua kitu kuhusuMartinique kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari .