Maria wa Bethania (jina lake kwaKiebrania מִרְיָם, Miryām, kwaKiaramu מרים,Maryām, kwaKigiriki Μαρία, Maria) alikuwamwanamke waBethania,kitongoji chaYerusalemu, katikakarne ya 1[1].
Ndugu zake walikuwaMartha naLazaro wa Bethania, ambao woteYesu alifurahiaurafiki wao hasaalipohiji kwenda Yerusalemu.
Wanaheshimiwa naWakristo wengi kamawatakatifu[2].
Sikukuu yao inaadhimishwa pamoja tarehe29 Julai[3] au4 Juni, kadiri yamadhehebu.
Anajulikana hasa kutokana naInjili, kwa namna ya pekeeInjili ya Luka (10:38-42) naInjili ya Yohane (11; 12:1-8), katikaAgano Jipya ndani yaBiblia ya Kikristo.
Humo anaonekana mwenyesilika yautulivu naimani kwaYesu Kristo, ambaye alipendezwa sana nausikivu wake wakati alimfundisha ameketi chini karibu na miguu yake, kama ilivyokuwa kawaida yawanafunzi wadini ya Kiyahudi, ingawa wakati huowanaume tu walikubalika.
![]() | Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuMaria wa Bethania kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari. |