Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Makka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muonekano wa Mji wa Makka

Makka (rasmi:Makkah al-Mukarramah;Kar.: مكة المكرمة‎) nimji waUfalme waUarabuni wa Saudia. Ina wakazi 1,294,167(mwaka 2004). Mji uko kwenye bonde la Ibrahimu mnamokm 80 kutoka pwani laBahari ya Shamu na bandari yaJeddah. Mazingira ya mji ni jangwa mahali penyewe kuna visima vilivyowezesha kuwepo kwa mji tangu kale.

Makka kama mahali patakatifu wa Uislamu

[hariri |hariri chanzo]

Makka ni mji mtakatifu waUislamu. Kila mwaka mamilioni wa Waislamuwanahiji kwenda Makka. Wakati huu wa hajj wanajaribu kufuata nyayo zamtume Muhammad. Makka ni mji uliofungwa kwa wasio Waislamu.

Kwa Waislamu Makka ni mji wa kuzaliwa kwake mtume Muhammad pia mahali alipokaa alipoanza kupokea aya zaKurani. Mjini kuna pia jengo laKaaba linaloaminiwa ni msikiti iliyojengwa naAdamu na kutengenezwa upya naIbrahimu (Abrahamu).

Hajj ya kwenda Makka ni moja kati yanguzo tano za Uislamu.

Picha

[hariri |hariri chanzo]
  • Makka mwaka 1850
    Makka mwaka1850
  • Kambi ya Wahiji
    Kambi ya Wahiji
  • Ramani ya Kituruki ya Makka ya 1787
    Ramani ya Kituruki ya Makka ya 1787
  • Msikiti Mkuu wa Makka pamoja na Kaaba baada ya swala ya Ijumaa
    Msikiti Mkuu wa Makka pamoja na Kaaba baada ya swala ya Ijumaa

Viungo vya nje

[hariri |hariri chanzo]
Makala hii kuhusu maeneo yaAsia bado nimbegu.
Je unajua kitu kuhusuMakka kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Makka&oldid=1394366"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp