Majira hayo yanatokeaduniani kwa nyakati tofauti kadiri eneo husika lilivyokaskazini aukusini kwaikweta. Hata katika nchi ileile, kwa mfanoKenya, majira ni tofauti upande huu na upande huu wa ikweta.
Majira hayo tofauti hupatikana zaidi katikaukanda watropiki.
Ili kuhimili ukali wa majira ya baridi,wanyama wengi wana njia mbalimbali zakimaumbile nakitabia.
Uhamaji ni mbinu mojawapo inayotumiwa hasa nandege wakati wa baridi. Hata hivyo, ndege wengi hawahami. Baadhi yavipepeo pia huhamamsimu huu.
Wanyama wengine hulala ili kupunguza shughulimetabolimwilini wakati wa majira ya baridi. Wanyama hao, kama vilevyura,nyoka, napopo huamka msimu huu unapomalizika.
Wanyama wengine huhifadhichakula watakachokula wakati wa majira ya baridi.
Wanyama wengine huishi majira ya baridi lakini hujibadilisha kama vilerangi. Rangi yamanyoya hubadilika kuwanyeupe (ili kufanana natheluji). Mifano ya wanyama hawa ni kama vilembweha waAktiki,sungura wamlimani, n.k.
Wanyama wengine wenye manyoya hukuza manyoya yao kama wakati wa baridi; hii inaboresha uwezo wa manyoya kuhifadhijoto.
Msimu huu huathiri pia tabia za wanyama. Kwa mfanopanya kawaida huishi chini ya theluji.
Baadhi yamimea ya kila mwaka haiwezi kuishi wakati wa baridi. Hata hivyo, mimea mingine ya kila mwaka inahitaji baridi kukamilisha mzunguko wamaisha yao. Baadhi ya mimea ya msimu hufaidika kwa kufunikwa na theluji wakati mimea mikubwa huacha sehemu ya juu kulala hukumizizi yake ikihifadhiwa na theluji.
Binadamu nao hufanya mambo mbalimbali ili kuweza kukabiliana na majira ya baridi.
Baadhi ya nyumba za majira ya joto, ambazo zilijengwa kwa ajili ya matumizi ya majira ya joto tu zinahitaji kutunzwa wakati wa majira ya baridi. Wakati wa msimu huu nyumba hizo hutunzwa kwa kufungwa, kuzimamaji,umeme, na mistari yasimu, na kulinda vipengele mbalimbali kutokana na theluji kubwa.
Kwa mfano katika eneo laNew England, nchiniMarekani,familia nyingitajiri zilizoishi humo wakati wakarne ya 19 zilikuwa na nyumba za majira ya joto milimani ili kuondoka mwanzoni mwamagonjwa kwahoma ya njano na magonjwa mengine ambayo mara nyingi yalijitokeza katika miezi ya majira ya joto.
Makala hii kuhusu mambo yasayansi bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuMajira ya baridi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.