Maneno yake ni haya: Nafsi yangu yatangaza ukuu wa Bwana, roho yangu inamshangilia Mungu, mwokozi wangu; kwa sababu ameona unyonge wa mtumwa wake.
Tangu sasa vizazi vyote vitanipongeza, Kwa sababu Mwenyezi amenitendea makuu; jina lake takatifu, ne rehema zake hufikia uaminifu wake kutoka kizazi hadi kizazi.
Hufanya ushujaa kwa mkono wake: huwatawanya wenye kiburi moyoni, huwaangusha wenye nguvu kutoka katika viti vyao vya enzi na kuwainua wanyonge, huwashibisha wenye njaa vitu vyema, na matajiri huwafukuza mikono mitupu,
Umsaidie Israeli, mtumishi wake, akikumbuka rehema kama alivyowaahidi baba zetu. Kwa neema ya Ibrahimu na kizazi chake milele.
↑Ufafanuzi waBeda Mheshimiwa unapatikana katika Masomo ya Breviari - Sikukuu za Bwana, za Bikira Maria na za Watakatifu - Ndanda Mission Press 1978, uk
↑The History and Use of Hymns and Hymn-Tunes by David R Breed 2009ISBN 1-110-47186-6 page 17
Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuMagnificat kama historia yake au athari wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.