Hakuna hakika maandishi yalianza lini na wapi, ilawataalamu wengi huona ya kwambaSumer katikaMesopotamia ilikuwa ya kwanza duniani.
Wengine huona ya kwambasanaa ya kuandika ilianzishwa na watu mbalimbali kwa nyakati tofauti katika pande mbalimbali za dunia. Si rahisi kuwa na hakika kwa sababu maandishi yenyewe hudumu kwa muda tu kutegemeana namata navifaa vilivyotumiwa.
Kati ya mata zote za kutunza maandishi ni hasakaratasi inayotumiwa zaidi leo. Ilibuniwa China ilipojulikana mnamo mwaka100BK na kusambaa polepolebaraniAsia halafuUlaya.
Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuMaandishi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.