Wafinisia walikuwa na alama ya "Mem" iliyokuwa kiasilipicha iliyorahisishwa yamaji wakitumia alama tu kwasauti ya "m" na kuiita kwaneno lao kwa maji "mem". Kwa kurahisishakazi ya kuandika waliongeza mstari mrefu upande walipoanza kuandika.
Wagiriki walichukua alama hiyo na kuiita "Mi" bila kujali maana asilia ya "maji", ilikuwa sauti tu ya "m". Waligeuza alama kulingana na mwendo wao wa kuandika kuanzia upande wa kushoto na kufikiaumbo lililokaa hivyo.
Waitalia wa kwanza wakaipokea ilivyo hata kama walirudia mara nyingi umbo la awali.
Waroma wakaendeleza alama hiyo katika alfabeti yao kwa maana hiyohiyo.
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuM kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.