Lugha za Kisonghai
Zana
Kijumla
Chapa/peleka nje
Miradi mingine
Lugha za Kisonghai nikundi lalugha zenye uhusiano wa karibu sana zinazotumiwa na wasemaji takribanmilioni 3 katika nchi kadhaa zaAfrika Magharibi.
Lugha za Kisonghai zinasemwa upande waMto wa Niger nchiniMali,Niger,Benin,Burkina Faso, naNijeria.
Awali, eneo hilo lilipokuwa chini yautawala waDola la Songhai, lugha hizo zilikuwa zikitumiwa kamalugha ya mawasiliano katika sehemu kubwa sana.
Uhusiano wa Kisonghai na lugha nyingine ni ngumu sana kuthibitishwa kwa kuwa kinamaneno mengi yenyeasili nyingi mbalimbali.
| Makala hii kuhusu mambo yalugha bado nimbegu. Je, unajua kitu kuhusuLugha za Kisonghai kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari. |