Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Lobamba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Lobamba nchini Eswatini.

Lobamba ni kati yamiji mikuu miwili yaEswatini. Lobamba ni mji mkuu wamfalme na pia makao yabunge la nchi.Serikali inakaaMbabane.

Lobamba inaonasherehe kubwa ya kitaifa kilamwaka ningoma yaUmhlanga au ngoma yamafunjo ambakowasichana wanachukuwa mafunzo na kuzipeleka kwaikulu yantombi (mama wa mfalme). Ni kawaida ya kwamba mfalme anaweza kumteuamke mpya kati ya wasichana hawa wakicheza.

Majengo maalumu ni pamoja na ikulu, boma la kifalme, jumba la mama wa mfalme, Makumbusho wa Kitaifa ya Uswazi, Bunge na makumbusho ya mfalmeSobhuza II.

Makala hii kuhusu maeneo yaAfrika bado nimbegu.
Je unajua kitu kuhusuLobamba kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Lobamba&oldid=1270151"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp