Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

Leucho wa Brindisi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro waOronzo Tiso,Mahubiri ya Leucho,Kanisa kuu laBrindisi.

Leucho wa Brindisi, mzaliwa waAleksandria, alikuwaaskofu wa kwanza wamjihuo waItalia Kusini katikakarne ya 4.

Kabla ya hapo alikuwammonaki katika nchi yake,Misri.

Tangu kale anaheshimiwa naWakatoliki naWaorthodoksi kamamtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwatarehe11 Januari[1].

Tazama pia

[hariri |hariri chanzo]

Tanbihi

[hariri |hariri chanzo]
  1. Martyrologium Romanum
Makala hii bado nimbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuiongezea habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Leucho_wa_Brindisi&oldid=1111039"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp