Ukweli wakijiografia ambao wajulikana zaidi kuhusu Lesotho ni kwamba ni nchi inayozungukwa naAfrika ya Kusini, na ninchi huru pekee duniani ambayo yote iko juu yamita 1,000 juu ya usawa wa bahari (UB) (ft 3,281). Eneo la chini zaidi liko mita 1,400 (futi 4,593), na zaidi yaasilimia 80 za nchi ziko juu ya mita 1,800 (futi 5,906).
Makala hii kuhusu maeneo yaAfrika bado nimbegu. Je unajua kitu kuhusuLesotho kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.