Movatterモバイル変換


[0]ホーム

URL:


Nenda kwa yaliyomo
WikipediaKamusi elezo ya maandishi huru
Tafuta

La Liga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
mchezaji wa laliga

La Liga ndiyoligi kuu yasoka ya kulipwa nchiniHispania. La Liga ilianzishwamwaka1929 na kwa sasa inashirikiwa natimu 20.

Jumla ya timu 62 zimefanikiwa kushiriki katika La Liga tangu kuanzishwa kwake. Kati yake,tisa zilipataubingwa, naReal Madrid kushinda mara 33 naBarcelona F.C. mara 25.

Baada yaAthletic Bilbao kutawala katika miaka ya kwanza ya ligi,Real Madrid iliongoza mashindano kutokamiaka ya 1950 hadimiaka ya 1980, wakatiAthletic na majiraniReal Sociedad walishindakombe marambili kila moja.

Kuanziamiaka ya 1990,Barcelona (mara 14) naReal Madrid (mara 9) yamekuwa maarufu, ingawa La Liga pia aliona mabingwa mengine, ikiwa ni pamoja na Atlético Madrid, Valencia, na Deportivo deLa Coruña.

Katikamiaka ya 2010,Atletico Madrid ilizidi kuwa imara, na kuundaushindani na Real Madrid na Barcelona.

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado nimbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusuLa Liga kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwakuihariri na kuongeza habari.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=La_Liga&oldid=1179733"
Jamii:

[8]ページ先頭

©2009-2025 Movatter.jp